Ta Ha 20:70 فالقي السحرة سجدا قالوا امنا برب هارون وموسى ٧٠
فَأُلۡقِيَ
ٱلسَّحَرَةُ
سُجَّدٗا
قَالُوٓاْ
ءَامَنَّا
بِرَبِّ
هَٰرُونَ
وَمُوسَىٰ
٧٠
Basi wachawi wakaangushwa wanasujudu. Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa Harun na Musa!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hapo Mūsā aliirusha fimbo yake, ikavimeza walivyovifanya, haki ikajitokeza na hoja ikasimama juu yao. Hapo wachawi walijitupa chini wakiwa katika hali ya kusujudu na wakasema, «Tumemuamini Mola wa Hārūn na Mūsā. Lau huu ulikuwa ni uchawi hatungalishindwa.»
Hapo Mūsā aliirusha fimbo yake, ikavimeza walivyovifanya, haki ikajitokeza na hoja ikasimama juu yao. Hapo wachawi walijitupa chini wakiwa katika hali…